Sunday, March 29, 2009
Babu mmoja alipelekwa london na mjukuu wake kwa matibabu.Siku moja akatoka nje ya hospitali kupunga upepo.Alipofika barabarani aliona harusi inapita basi akauliza jamaa mmoja , nani anaoa? jamaa kamjibu, I dont know.keshoye akatoka tena kupunga upepo na pale barabarani kaona jeneza linapitishwa ikabidi aulize jamaa, nani kafariki? jamaa kamjibu, I dont know.Babu akaenda kwa mjukuu wake akisikitika na kumuambia Adonoo jana tayari alifunga harusi leo kafariki !!!
Wednesday, March 11, 2009
Monday, March 9, 2009
Saturday, March 7, 2009
Subscribe to:
Posts (Atom)